Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC Sabaya awaweka ndani wahasibu

Wednesday , 11th Sep , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, ameagiza wahasibu wa Chuo cha Ualimu Moshi pamoja na Wakala wa Benki ya CRDB Wilayani humo, kukamatwa mara baada ya kugundua ubadhilifu mkubwa wa shilingi milioni 78 zilizokuwa zinalalamikiwa na Wanafunzi Chuoni hapo.

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Akizungumza leo Septemba 11 na EATV&EA Radio Digital, DC Sabaya amesema kuwa mara baada ya kukutana na wote waliotajwa kuhusika na upotevu wa pesa hizo ikiwemo Bodi ya Shule, CRDB pamoja na Mawakala wa ELCT SACCOS, aliagiza wakae ili kuweza kubaini na kujiridhisha kiasi halali kilichopotea.

''Tumekubaliana kwamba wahusika wa wizi huo, huyu Muhasibu wa Chuo na yule Wakala watawajibika kulipa hicho kiasi kwa sababu nao watakuwa sehemu ya uchunguzi huo, lakini ili wasiharibu uchunguzi, nimeagiza wote wakamatwe kwahiyo wote wawili wako ndani mpaka wasubiri kesho saa 5:00 Asubuhi, watanipa majibu ya kilichofikiwa na tutaamua namna ya ulipaji wa fedha hizo ili Wanafunzi waendelee kubaki hapo Shuleni'' amesema DC Sabaya.

Wanafunzi wa Chuo hicho waliandamana siku ya Jumatatu ya Septemba 9 na kushinikiza Serikali kuingilia kati sakata la utapeli wa zaidi ya Sh.milioni 75 za malipo ya ada ambazo hazionekani kwenye akaunti ya Chuo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine