Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uwezekano wa maisha sayari nyingine wagundulika

Thursday , 12th Sep , 2019

Utafiti wa miaka ya karibuni katika anga za juu, umeonesha uwepo wa sayari nyingine nje ya mfumo wetu wa jua (Solar System), ambazo zinatajwa kuwa na uwezo wa kuruhusu uhai kwa wanyama na mimea lakini ugumu umebaki kuweza kuzifikia.

Picha ya sayari tofauti tofauti

Unaambiwa kama chombo kitaweza kwenda spidi ya maili 35,000 kwa saa, itachukua miaka 40,000 kuweza kuikaribia sayari mojawapo, lakini inaelezwa uwepo wa ugumu wa kupita hata karibu ya Sayari hizo sababu zikitajwa ni uwepo wa mgandamizo mkubwa wa hewa pamoja na gesi nzito.

Utafiti mwingine wa hivi karibuni umegundua uwepo wa unyevu nyevu wa maji maeneo ya Sayari hizo, hivyo kuongeza uwezekano wa kuruhusu uhai kwa wanyama na mimea japo hiyo haitoi picha moja moja kwa sababu uwepo wa uhai hautegemei uwepo wa kitu kimoja bali vitu vingi.

Unyevu nyevu wa maji umegundulika katika sayari ya K2-18b ambayo kiumbo ni kubwa zaidi ya Sayari ya Dunia, lakini ina mfanano wa ukaribu wa hali ya hewa huku kukihisiwa kuwepo pia kwa vyanzo kama Bahari, Maziwa na Mito.

Mpaka sasa zimegundulika zaidi ya Sayari 2,000 ambazo zipo nje ya mfumo wetu wa Jua (Solar System), lakini imebaki kuwa ndoto kuzifikia sababu ya teknolojia iliyopo pamoja na ufinyu wa tafiti kuhusu maeneo hayo.
 

HABARI ZAIDI

Bajaji iliyotumika kubeba dawa za kulevya

Mtuhumiwa wa dawa za kulevya na mauaji mbaroni

Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Mkakati mpya wa kuajiri walimu watangazwa Tanzania

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

Tanzania & Dernmark zitaboresha ya mifumo ya kodi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi