Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Olesendeka apangua maagizo ya Halmashauri

Monday , 16th Sep , 2019

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole - Sendeka ametengua katazo la Halmashauri ya mji wa Njombe, lililopiga marufuku mabasi ya abiria, kushusha katikati ya mji kwa madai ya kwamba katazo hilo linawaumiza wananchi wa hali ya chini.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole - Sendeka

Uzinduzi wa Kituo kipya cha mabasi ulifanyika Mei 11, 2019, ambapo Halmashauri ya mji wa Njombe ilipiga marufuku mabasi ya abiria yaendayo mikoani na vijijini kushusha abiria katika vituo vilivyopo katikati ya mji jambo ambalo limesababisha kuibuka kwa malalamiko mengi kwa wananchi, kwasababu ya umbali wa kituo kipya cha mabasi.

Akitengua marufuku hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kituo cha zamani cha mabasi, Olsendeka amesema, maamuzi hayo ameyafanya baada ya kuona wananachi wanatumia fedha nyingi  kukodi tax na pikipiki maarufu kama bodaboda hali ambayo  imesababisha kujenga chuki kati ya serikali na wananchi.

Halmashauri hiyo ilianza kutumia kituo kipya cha mabasi kilichojengwa kwa ufahadhili wa benki ya dunia na uligharimu zaidi shilingi Bil. 9.

Katika hatua nyingine Ole sendeka amesema kuwa, ili kuwapunguzia changamoto ya usafiri atatengeneza kwa gharama zake kituo kidogo cha kushusha abiria jirani na hospitali ya mji wa Njombe Kibena ili magari ya abiria yawe na uwezo wa kushusha abiria, wanapoenda hospitalini hapo kupata matibabu.

Zaidi Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine