Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto aliyepotea kwa siku 31, amtaja mjomba

Friday , 20th Sep , 2019

Mtoto Neema Nurdin (8) mkazi wa Kijiji cha Msijute Wilayani Mtwara, aliyedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa siku 31 na kurejeshwa nyumbani kwao Septemba 18, amemtaja mtu aliyemrudisha kuwa ni mjomba.

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa ambapo picha ya kulia akiwa amemshika mtoto baada ya kupatikana.

Akizungumza leo Septemba 20, 2019 na EATV&EA Radio Digital, Kamishina msaidizi wa jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara Ronald Makona, amesema bado wanaendelea na uchunguzi ili kuweza kumbaini huyo mjomba ni nani kwakuwa Neema alifika nyumbani kwao akiwa peke yake.

''Alitokea tu nyumba ya jirani na kusema kuwa ameletwa na mjomba wake ambaye hakuweza kuonekana, baada ya kuonekana alikuwa ni dhaifu, tulimpeleka hospitali kwa ajili ya kupata matibabu na kupimwa ili kujua kama kuna vitu ambavyo si vya kibinadamu amefanyiwa, majibu ya daktari yanaonesha alikuwa dhaifu kulingana na lishe duni''amesema Makona.

Kupatikana kwa mtoto huyo kumekuja ikiwa ni siku moja tu kupita, tangu Mkuu wa mkoa huo Gelasius Byakanwa kulitaka Jeshi la Polisi, kushirikiana na jamii kuhakikisha mtoto huyo anapatikana, agizo hilo alilitoa Septemba 17 na Septemba 18 mtoto alirejea nyumbani.

Kwa mujibu wa Kamanda Makona mtoto Neema amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula na kwamba wanategemea akiruhusiwa, watamfanyia mahojiano ili kubaini alikuwa amehifadhiwa wapi.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine