Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Mtaturu atengewa bilioni 2

Monday , 23rd Sep , 2019

Serikali kupitia Wizara ya Maji imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 2 kwa ajili ya kutatua kero ya maji katika jimbo la Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu, baada ya Rais Magufuli kuagiza changamoto hiyo ishughulikiwe mapema.

Akizungumza leo na EATV & EA Radio Digital, Septemba 23, 2019 Mtaturu amesema kuwa amefurahishwa kuona serikali imechukua hatua za haraka kuishughulikia changamoto hiyo, ambapo hadi sasa vimekwishachimbwa visima 28 watakavyotumika kusambaza maji jimboni humo.

''Bahati nzuri niliongozana na Naibu waziri wa Maji kwa maelekezo ya Wizara na Mh Rais, kwamba aje tuangalie changamoto ya maji pamoja. Nashukuru kwamba wizara imetupataia bilioni 2 na imewaacha wataalamu wa maji hapa ili kuangalia namna ambavyo watazigawa hizo pesa katika maeneo ambayo yalikuwa na changamoto'', amesema Mtaturu.

Ameongeza kuwa mbali na changamoto ya maji jimbo lake linakabiliwa na changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara na kuleta adha kubwa kwa watumiaji, hususani wakulima wakati wa kusafirisha mazao yao na kwamba Wizara ya ujenzi imemuahidi kutafuta fedha.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali