Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bibi wa miaka 90 alivyoishi bila mume

Wednesday , 25th Sep , 2019

Bibi mwenye umri wa 90 nchini Marekani aitwaye Claire, ameeleza sababu za kuishi miaka hiyo bila kuwa na Mwanaume.

Bibi huyo amefunguka hayo katika kipindi cha 'Love What Matters', ambapo amesema kuwa hali ya yeye kuishi kwa muda wote huo bila ya kuwa na mwanaume, imepelekea afya yake kuwa imara na kutokumbwa na magonjwa.

Licha ya kuwa ni maajabu kufikisha umri huu lakini bado nina furaha na afya napenda kuishi umri mrefu na sina magonjwa ya uzee,pia sina mawazo ya kuwa na mwanaume ambayo mara nyingi hufanya watu wasifikie umri huu" amesema Claire.

Claire ameongeza kuwa ameshashuhudia watu wengi wanawahi kupoteza maisha yao, kwa sababu ya kuendekeza mawazo kutoka kwa wapenzi wao kama vile usaliti.

Bibi Claire pia ameeleza siri iliyomfanya akae kando na wanaume ni pamoja na kutowapa nafasi ya kumuumiza na kuweka mipaka ya urafiki na jinsia hiyo, na kuamua kuishi maisha ya kwake pekee.

By Love What Matters

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali