Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pembe adai anatembea na rungu sababu ya umasikini

Thursday , 3rd Oct , 2019

Mchekeshaji wa muda mrefu nchini Tanzania maarufu kwa jina la Pembe,amesema kuwa uhalisi wa maisha ya watu wengi waishio vijijini, wanaotumia silaha za jadi katika utekelezaji wa shughuli zao za kila siku, ndicho kilichomvutia na yeye kuoneka na rungu katika filamu zake zote.

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, kuhusu kutembea na rungu kwa muda mrefu amesema, anafanya hivyo ili kuweka uhalisia wa maisha ya vijijini, ambapo aligusia baadhi ya vijana wanaotokea Kondoa pamoja na wamasai wenye utamaduni wa kutembea na mapanga kiunoni.

Kila mtu anataka kuigiza jinsi matajiri walivyo, Je hawa maskini wa vijijini na mafukara atawasemea nani, Mimi napenda kuigiza kuhusu kuwa mapepe na mcharuko ndiyo 'style' yangu pia nawawakilisha watu wa aina hiyo siwezi kung'ang'ania kuigiza kama mtu wa maghorofa au suti,siri ya lile rungu ni mizizi ambayo wenyewe wanajua maana yake hata mimi nilinunua tu sijui linatokea wapi” amesema Pembe.

Aidha Pembe ameongeza kuwa yeye na rafiki yake Senga, hawana akaunti za mitandao ya kijamii ila kuna watu feki, wanaotumia majina yao na picha zao ili kuwachafua kwa kuchapisha vitu visivyo na maana na uongo dhidi yao.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu