Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM ashangaa waliozaliwa porini na wasile nyama

Thursday , 10th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameiagiza Mamlaka ya Hifadhi za Taifa mkoani Katavi kuhakikisha inakuwa na duka litakalokuwa linauza nyama za wanyamapori wanaopatikana katika Mbuga ya mkoa huo japo mara moja kwa wiki.

Rais Magufuli

Rais Magufuli ameyabinisha hayo leo Oktoba 10, 2019, wakati wa uzinduzi wa Barabara inayotoka Mpanda hadi Mkoani Tabora katika ziara yake ya siku tatu mkoani Katavi, ambapo amesema kuwa kwa kufanya hivyo hakutaweza kuwamaliza wanyamapori waliopo katika hifadhi.

''Lakini pia nimeagiza fungueni duka la nyama ya porini, sio kila siku watu wakitamani hata kanyama ka Swala kuingia kule ni kazi, wekeni utaratibu wa kuuza hata mara moja kwa wiki, haiwezekani mtu wa Katavi, umezaliwa porini hadi ufe meno yako hayajawahi kuonja nyama ya porini hata ya Ngiri, hawa wanyama hawawezi wakaisha, ndiyo faida ya kuwa na wanyama karibu'', amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amewaomba wakazi wanaozunguka Hifadhi ya Taifa ya Katavi, wasiende kuvamia eneo hilo na kuwaua Wanyamapori na badala yake wasubiri utaratibu wa uuzaji wa nyama utakaowekwa na TANAPA.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali