Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto mchanga wa siku 2 akutwa jalalani Singida

Sunday , 13th Oct , 2019

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtoto mchanga amekutwa ametupwa jalalani katika kitongoji cha Majengo wilayani Manyoni mkoani Singida.

Wananchi waliojitokeza katika eneo la tukio

Mwili wa mtoto huyo ambaye anakadiriwa na umri wa siku mbili umekutwa umetupwa katika eneo la kukusanyia taka huku mzazi wa mtoto huyo akiwa bado hajajulikana.

Baadhi ya mashuhuda waliofika katika tukio hilo wameelezea masikitiko yao kwa tukio hilo ambalo amefanyiwa mtoto mchanga asiye na hatia.

Kwa Upande wake Diwani wa kata ya Manyoni mjini bw.Maghembe Machibula na Mwenyekiti wa kitongoji cha Majengo bw. Silvester Msogoti wamewataka wakazi wa kitongoji hicho kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kutoa taarifa za mtu yeyote aliyehusika kumtupa mtoto huyo.

Akithibitisha kupokea mwili wa mtoto huyo, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Manyoni, Dokta. Furaha Mwakafwila amesema wamepokea mtoto huyo akiwa ameshafariki ambapo amebainisha kuwa kuwa huenda mtoto huyo amefariki ndani ya masaa 24 mpaka muda waliompokea.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90