Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba wa watoto 100 na wake 19 aongeza wake wengine

Tuesday , 15th Oct , 2019

Kutokea  katika kijiji cha Ruyonza nchini Uganda kuna taarifa ambayo imezua gumzo mitandaoni kuhusu mzee mwenye umri wa miaka 94 aitwaye Nulu Ssemakula aliyeamua kuongeza wake wengine wanne huku akiwa tayari na wake 19 na jumla ya watoto 100.

Mzee Nulu Ssemakula akiwa na sehemu ya familia yake

Mzee huyo anatokea katika kijiji ambacho sifa yake kubwa kwa wanaume ni kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja, ambapo mawnyewe amesema lengo lake ni kuwa na familia kubwa zaidi, akiamini ni utajiri tosha na amepanga kuongeza wengine endapo ataendelea kuwa hai.

"Nilipoteza wake zangu wanne ambao waliniacha na kuniachia watoto tu, nitaendelea kuoa nikiwa hai. Nataka kuwa na watoto wengine na pia nitaoa tena kwa majaliwa ya Mwenyezi Mungu", amesema mzee Ssemakula.

"Naamini mali yangu ipo kwenye watoto na wanawake wangu, huu ndiyo utajiri wangu wa kweli",  ameongeza mzee huyo huku akionekana kujiamini.

Kwa sasa amesema anaishi na watoto wake 66, wengine wameshakuwa watu wazima wameanzisha familia zao, mtoto wake wa mwisho ana umri wa miezi 10, huku mke wake mdogo zaidi akiwa na miaka 24.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine