Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki wa Pili ashauri wazazi wenye watoto watukutu

Thursday , 17th Oct , 2019

Msanii wa Hip Hop Bongo kutoka kundi la Weusi, Nikki wa Pilli ametoa ushauri rahisi kwa walimu na wazazi katika kuwalea watoto wao kwenye mstari ulio sahihi.

Nikki wa Pili

Amesema hayo akipiga stori na Big Chawa wa Planet Bongo wa East Africa Radio, ambapo amesema kuwa njia rahisi ya kuishi na watoto wa wasumbufu na wasiotaka kusoma ni kutotumia nguvu kama ilivyozoeleka, bali ni msisitizo kwenye mambo ambayo yatawafanya wasome.

"Wazazi na walimu muhimu sana kutambua aina ya wanafunzi walionao, ukienda kila shule lazima kuna wananfunzi wanaojielewa ambao hawashikiwi fimbo na mzazi au mwalimu. Lakini mwanafunzi ambaye hana malengo na hapendi kusoma hata ukikaa naye ukamwambia hakuelewi", amesema Nikki.

"Huyu asiyetaka kusoma ni lazima ajengewe uwezo wa vitu vingine mbalimbali kuhakikisha kuwa anaachana na vile vitu ambavyo vitamzuia kusoma na kumjengea mfereji kuelekea kwenye kusoma, lakini huwezi ukamwambia tu kwa maneno akakuelewa", ameongeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine