Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose Muhando alivyokataa kutumikishwa kingono

Saturday , 19th Oct , 2019

Msanii wa nyimbo za Injili nchini Tanzania Rose Mhando, ameeleza jinsi alivyotakwa kimapenzi na meneja wake kipindi alipokuwa na matatizo ya afya, pamoja na kudaiwa kutumia madawa ya kulevya na kuabudu mashetani.

Rose Muhando

Rose Muhando ameeleza hayo katika mahojiano na kituo cha habari nchini Kenya, ambapo amesema taarifa za yeye kutumia madawa ya kulevya na kuabudu mashetani ni za uongo na zilisambazwa na aliyekuwa meneja wake baada ya kumkatalia kufanya naye mapenzi.

"Aliyekuwa Meneja wangu aliamua kunipangia kashfa kwa nia ya kuharibu jina langu, sikutaka kuwa mtumwa wa ngono, sitaki hata leo potelea mbali, hata kama yeye alitaka kuchukua vitu vyangu, akaamua kunitengenezea kashfa sababu nilimkataa basi na iwe hivyo lakini Mungu akibaki na mimi peke yake inatosha, maana yeye anajua hesabu za siku zangu" amesema Rose Muhando.

"Kwani mara ngapi nimechukuliwa nikapelekwa milimani, nikapelekwa msituni na kuwekewa bastola kichwani nikubaliane na kile ambacho sitaweza kulisema lakini nilikataa nikasema niko radhi kufa hata kwa dakika moja, siwezi kukubaliana na utumwa ambao walitaka kunitumikisha nao" ameongeza.

Pia amemshukuru Mchungaji maarufu nchini Kenya aitwaye Pastor Ng'ang'a kwa kumfanyia maombi na kumponya matatizo yake.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine