Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joel Lwaga aeleza sababu kutotaja neno Yesu

Tuesday , 22nd Oct , 2019

Muimbaji wa nyimbo za Injili hapa nchini, Joel Lwaga, ameeleza sababu ya waimbaji wa nyimbo za Injili kwa sasa kutotaja neno Yesu kwenye nyimbo zao, japokuwa lengo kubwa ni kumfanya Yesu awe maarufu miongoni mwa wanaomuamini.

 

Lwaga ametoa kauli hiyo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kupitia kurasa za Facebook na Youtube ya East Africa  TV.

"Suala la kutaja jina la Yesu kwenye baadhi ya nyimbo, mimi huwa nataja, unajua maana ya Injili ni habari njema kutoka kwa Yesu na kumfanya  Yesu kuwa maarufu kwenye maisha ya watu, ila kwa upande wangu naimba kile ambacho  roho mtakatifu amenijalia kuimba, hata kama ikitokea haia neno Yesu." amesema Lwaga.

"Kwa mfano sitabaki nilivyo ule ujumbe ni wa kiinabii kabisa nilioneshwa na Mungu, japokuwa wimbo mwanzo mpaka mwisho hakuna neno Yesu, kwa sababu huwa nakuwaga na  ufunuo zaidi ndiyo huwa naweka neno Yesu." ameongeza Joel Lwaga.

Aidha Joel Lwaga amesema, kwenye masuala ya siasa kwa sasa anavutiwa zaidi na Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kutokana na mambo makubwa anayoyafanya.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali