Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Mbeya awafukuza shule wanafunzi 7

Wednesday , 23rd Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametangaza kuwafukuza Shule wanafunzi saba wa kidato cha sita, waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma za kuchoma moto mabweni, katika Shule ya Sekondari Kwanja iliyopo Chunya mkoani Mbeya.

Chalamila ametoa maamuzi hayo leo Oktoba 23, 2019, akiwa Shuleni hapo wakati akitoa ripoti kuhusiana na maamuzi ya kuwatimua wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kiwanja wa kidato cha 6 na kuwataka walipe faini ya Shilingi laki 2 kwa kila mmoja, na faini ya Shilingi laki 5 kwa kila aliyechoma moto mabweni.

"Leo Jumanne asubuhi nimewatimua wanafunzi wote ambao hawajalipa, na nitaandika ripoti kwenye mamlaka kuwazuia wasifanye mitihani tena kwa muda wa miaka 5 na kama kuna shule yeyote itawapokea itakuwa hatarini" amesema Chalamila.

"Jinsi ya kuwafuatilia hawa wanafunzi ni ndogo sana, kwa sababu tunawafahamu tangu walipoanzia mpaka wapo sasa na uzuri zaidi tumewalipia ada wenyewe wala hawatusumbui kuwapata, kwa hiyo niseme tu shule yeyote itakayowapokea itakuwa matatizoni" amesema Chalamila.

Hivi karibuni Mkuu huyo wa Mkoa, alionekana kuwashushia bakora baadhi ya wanafunzi katika Shule ya Sekondari Kiwanja mkoani humo, wakituhumiwa kuchoma moto mabweni ya Shule.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90