Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mpoto afunguka 'issue' za ushirikina na waganga

Friday , 1st Nov , 2019

Msanii wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto, ameieleza EATV & EA Radio Digital, kuwa katika maisha yake hajawahi kuamini katika ushirikina na kwenda kwa waganga, japokuwa suala lake la kutembea peku limekuwa likihusishwa sana imani potofu.

Mrisho Mpoto

Licha ya watu kuhusisha suala lake la kutembea pekupeku na imani hizo, Mpoto amesema kuwa haamini katika ushirikina bali anaamini katika uhalisi wa kazi zake.

"Kamwe siamini katika hilo siamini kabisa kwa asilimia 100, wala sijawahi kutumia na sioni kama ina 'connection' yoyote, mimi naamini katika uhalisia na sidhani kama ushirikina unaweza kufanya kazi" amesema Mrisho Mpoto.

Aidha Mpoto ameongeza kuwa, "Nasikia na naona katika mitandao, mimi najizungumzia siamini katika ushirikina na huwezi kukuta nashiriki huko hata upepese, uchambue kwamba Mpoto aliwahi kupenya kwa mganga, akaambiwa ashike tunguli kamwe huwezi kukuta, mafanikio yangu yote kwenye 'game' naamini katika uhalisia ambayo inanifanya kunijenga kuwa msafi na kutanua wigo" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine