Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kutana na ndugu 2 wanaotumia sabuni kama chakula

Saturday , 9th Nov , 2019

Ndugu wawili waliojulikana kwa majina ya Sharon Jepchirchir (24) na Lydia Chepkemboi (17), kutokea kijiji cha Kibochi nchini Kenya, wameshangaza watu kwa tabia ya kula sabuni za kipande na ya unga kama chakula.

Ndugu wawili wanaoluka sabuni

Sharon Jepchirchir ameiambia Televisheni ya "KTN News" kuwa ameanza kula sabuni tangu akiwa na umri wa miaka 5 hadi sasa ametimiza miaka 19 ya maisha yake, ambapo amekuwa akila sabuni kama chakula, pia aligundua hata mdogo wake wake ameanza kula sabuni miaka 6 iliyopita.

"Mdogo wangu wa kike alikuwa anaishi kwa shangazi yangu, ilikuwa nadra sana kuonana lakini kuna siku niliona ana vipande vya sabauni kwenye pochi yake, nilimuuliza unazifanyia nini hizo sabuni na akanijibu huwa anakula. Hii ilitufanya tuwe karibu zaidi na huwa tunaazimana", amesema Sharon Jepchirchir.

Aidha Sharon Jepchirchir ameendelea kusema, "nikila sabuni marafiki zangu huskia harufu yake na kushangaa na  mimi huwa naachana nao. Wakati mwingine hulazimika kula kitafunio ili kupigana na harufu ya sabuni lakini inakosa kuisha", ameongeza.

Pia wawili hao wamesema wamekuwa wakitafuta suluhisho la kuacha kula sabuni ikiwemo maombi lakini hawajafanikiwa hadi muda mwingine wanafikiri kama wamerogwa.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu