Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM kutoa msimamo wao kuhusu Uchaguzi

Monday , 11th Nov , 2019

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amesema chama hicho kwa sasa kinaendelea kufuatilia muenendo wa zoezi zima la uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kinatarajia kutoa tamko lake Novemba 13, 2019.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole.

Polepole ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikiwa ni siku moja baada ya Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, kutoa tamko la kuwarejesha wagombea wa upinzani, ambao vyama vyao vilitangaza kujiondoa na pamoja na kueleza CCM kupita bila kupingwa kwenye Vijiji vingi.

"Tunaendelea kufuatilia maendeleo ya mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, Chama Cha Mapinduzi kitatoa kauli siku ya Jumatano Tarehe 13 Novemba 2019." ameandika Polepole.

Mapema jana akizungumza na waandishi wa habari Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, alisema mchakato mzima wa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaendelea kama kawaida kwa kuwa wadau wote walishashirikishwa awali na kupewa kanuni.

"Wagombea ambao waliteuliwa na vyama vyao wakafanikiwa kuchukua na kurejesha fomu, kwa kipindi kilichopangwa na wamerejesha watu hao wana haki ya kugombea, hakuna kuweka mpira kwapani." alisema Jafo.
 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu