Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba levo aachiwa huru baada ya kushinda rufaa

Thursday , 21st Nov , 2019

Msanii wa Bongo Fleva na Diwani wa kata ya Mwanga Kaskazini, Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mhe. Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo, leo Novemba 21, 2019, ameshinda Rufaa yake katika Mahakama kuu Mkoa wa Kigoma.

Baba levo katikati (mwenye shati nyeupe) akiwa na ndugu zake baada ya kutoka mahakamani.

Awali alihukumiwa kifungo cha miezi 6 katika mahakama ya Mwanzo Mwandiga, alipokata rufaa katika mahakama ya Mkoa, akahukumiwa kifungo cha Mwaka 1 na siku 2 jela, ambapo ameshinda katika Rufaa yake mahakama kuu.

Baba levo alihukumiwa kwa kosa la kumshambulia Askari wa Usalama Barabarani.

Katika huku ya leo, Jaji amefuta hukumu ya mahakama ya wilaya na Baba levo yupo huru kutokana kifungo chake kilikuwa kinaishia tarehe 11/11/2019 siku ya Jumanne.

Baada ya hukumu, Diwani wa Kata ya Kigoma Hussein Kaliyango, amesema 'tunashukuru maamuzi ya mahakama kuu haki imetendeka na sio haki kutendeka tu haki imeonekana imetendeka'.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali