Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dodoma watekeleza agizo la Magufuli kwa haraka

Saturday , 30th Nov , 2019

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi, amesema utekelezaji wa agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu ulipaji wa fidia wa eneo la Kikombo lililochukuliwa na Jeshi, kwa ajili ya kujenga Makao Makuu ya Ulinzi yanaanza wiki ijayo.

Rais Magufuli

Mkurugenzi huyo amesema kama maelekezo yalivyotolewa tayari taratibu zote zimeshakamilika ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa fedha na kinachofanyika kwa sasa ni uhakiki wa wananchi wanaopaswa kilipwa.

Amesema kuwa zoezi ambalo linaratibiwa na Wizara ya Fedha linaenda sambamba na ufunguaji wa akaunti za malipo kwakuwa watatumia mfumo wa Serikali wa Kibenki katika kufanya malipo hayo ya fidia ili fedha hizo ziwe salama.

Eneo lote linaukubwa wa hekari 5000, eneo linalokusudiwa kwaajili ya kulipwa fidia ni hekari 3431 na wanufaika wa fidia hiyo ni wananchi 1526, ambao wanapaswa kulipwa fidia Bilioni 3, kuhusu ujenzi wa barabara wa Kilomita 18 kuelekea Makao Makuu hayo nalo zoezi linaendelea kwa kasi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine