Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Irene Uwoya amkingia kifua Wema Sepetu

Thursday , 5th Dec , 2019

Malkia wa BongoMovie Irene Uwoya, amemkingia kifua msanii mwenzake Wema Sepetu na  kuwajibu wale wanaomsema kuwa amepoteza mvuto na ustaa wake umeshuka kwa kusema bado ni mzuri na anavutia.

Waigizaji wa BongoMovie Irene Uwoya na Wema Sepetu.

Irene Uwoya amesema hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, kwenye hafla ya chakula cha usiku kati ya wasanii na waandishi wa habari, iliyofanyika siku ya Novemba 4 katika moja ya Hotel iliyopo Masaki, Jijini Dar es Salaam.

"Nataka niwaambie kwamba hichi ni kipindi ambacho tunaenda kufunga mwaka, lakini pia nitakuwa nasherehekea siku yangu ya kuzaliwa ambayo itakuwa ni tarehe 18, kwahiyo kabla ya mwaka kufunga wasubiri kitu kizuri kutoka kwangu, kitu ambacho ningemwambia Wema Sepetu ni kufanya filamu moja ya mwaka" amesema Irene Uwoya.

Aidha staa huyo wa filamu ameendelea kusema "Siamini kama Wema amepoteza mvuto kwa sababu bado ni mzuri na anavutia,pia mahusiano yake na Aunty Ezekiel ni ya kawaida tu na ni watu ambao wa muda mrefu sana" ameongeza.

Pia amesema kuna haja ya mastaa kutenganisha maisha yao binafsi na mitandao ya kijamii ila kuna muda huwa inawabidi tu kuwaweka watu wao wa karibu au familia zao kama watoto au wapenzi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali