Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfungwa Mbeya aliyekataa kurejea Uraiani afuatwa

Wednesday , 11th Dec , 2019

Hatimae kijana Merald Abraham, aliyekuwa amefungwa kwenye Gereza la Ruanda, mkoani Mbeya na kukataa kurejea Uraiani, baada ya kupata msamaha wa Rais Magufuli, tayari ndugu zake wamekwishamchukua na kuondoka naye nyumbani.

Kijana Merald Abraham aliyegoma kurudi Uraiani.

Akizungumza leo Desemba 11, 2019, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi Mathias Mkama, amesema kuwa kijana Abraham anaonekana hayuko sawa kiakili, kutokana na yeye kukaa gerezani kwa muda mrefu.

"Raia huru yeyote ana Uhuru wa kuzungumza chochote, lakini ninachokijua kwamba huyo hakuwa mfungwa tena bali ni raia mwema, tulitoa huduma baada ya kujijeruhi na kuangalia kama ana tatizo jingine, huyu mtu amekuwa na akili inayobadilikabadilika inawezekana ni kutokana na kukaa gerezani muda mrefu au athari zake kutokana na matendo yake, kiufupi huyu raia hayupo gerezani ndugu zake walikuja kumchukua na wameelekea kwao Mwakaleli" amesema Mkuu wa Magereza.

Kijana Merald Abraham, alizua taharuki siku ya jana ya Desemba 10, 2019, baada ya kugoma kurejea Uraiani kwa kile alichokieleza kuwa hana pa kwenda na kuomba kama ikiwezekana ahamishiwe katika Gereza Kuu la Ukonga, Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA