Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Martha adai aliyoyapitia kwenye Ndoa unaweza ukafa

Tuesday , 17th Dec , 2019

Muimbaji wa Nyimbo za Injili hapa nchini Martha Mwaipaja, amesema kuwa japokuwa kuna watu amewavunja Moyo baada ya yeye kuachana na mume wake, lakini yeye hajali kwa sababu anajua magumu aliyokuwa anayapitia na kwa sasa hana maamuzi yoyote juu ya kuolewa au kuwa na mahusiano mapya.

Muimbaji wa nyimbo za Injili, Martha Mwaipaja.

Hayo ameyabainisha leo Disemba 17, 2019, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa kama binadamu haupaswi kuishi maisha yakusikiliza watu, maana ukifuata maneno yao unaweza ukafa kabla ya wakati, huku nyuma ukiacha watoto wako wakiteseka.

"Kuvunjwa Moyo ni kitu tofauti na maisha halisi ya mtu na ukisema uishi kwa sababu ya watu utakufa kabla na utaacha watoto wako wanateseka kwa sababu tu kuna mtu mbele yako, hakuna mtu anajua yale nimekutana nayo,siko kuongelea Ndoa wala mahusiano hivyo vitu ni maamuzi na saa hii sina maamuzi nitajibu kitu gani sasa wakati ndani yangu siko kuongelea hicho"amesema Martha Mwaipaja.

Martha Mwaipaja amesema kuwa kwa sasa anajiona ameshusha mzigo mkubwa ambao umebadilisha maisha yake kwa kiasi kikubwa na kwamba yeye na mume wake hawako pamoja kwa muda wa miaka miwili sasa.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine