Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya Wanafunzi UDSM baada ya agizo la Waziri

Wednesday , 18th Dec , 2019

Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Hamis Musa, amesema kuwa wakati wanatoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo, hawakuwa na nia mbaya ya kuvuruga amani ya nchi, bali ni yao ni kutetea haki ya wanafunzi ambao wana uhitaji.

Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO), Hamis Musa.

Akizungumza leo Disemba 18, 2019 na EATV & EA Radio Digital, Rais huyo wa DARUSO amesema kuwa hadhani kama agizo la Waziri wa Elimu la kutoa masaa 24 kwa uongozi wa chuo ili wao waweze kuchukuliwa hatua kama lilikuwa ni sahihi.

"Lakini sisi lengo letu sio baya, wala hatuna lengo la kuharibu amani ya nchi hii sisi tuna lengo la kutetea haki za wanafunzi, kwahiyo Waziri alivyosema vile sidhani kama alikuwa sahihi sana, sisi tunawakilisha wanafunzi na hawajui shida wanazokutana nazo" amesema Rais wa DARUSO.

Hata hivyo tayari Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, umekwishatekeleza agizo la Waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako, na tayari wamewasimisha baadhi ya viongozi wa Serikali ya wanafunzi akiwemo Rais wao.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine