Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kuna watu walijua sisi ni viziwi kweli"-Carpoza

Friday , 10th Jan , 2020

Wachekeshaji wanaofanya vizuri kwa sasa hapa nchini Oka Martin na Official Carpoza, wamesema kuna watu walidhani kama wao ni viziwi kweli, kutokana na vichekesho vyao wanavyovifanya kuonesha kuwa ni viziwi.

Oka Martin upande wa kushoto, kulia ni Official Carpoza

Wakipiga stori na EATV & EA Radio Digital, wamesema mawazo ya kuchekesha kama viziwi yalikuja wakati wanapiga stori na mmoja wao akaja na kauli ya 'Unasemaaa' ndipo hapohapo wakaanza kurekodi video na kufanya kama wana matatizo ya kusikia.

"Tulikuwa katika mihangaiko yetu ya stori ikaja ile kauli 'unasemaaa' ndipo ilipozalishwa pale, tukafanya hivyo na bahati nzuri mtaani ikapokelewa vyema, kuna watu wengi waliamini kama sisi ni viziwi, walihisi ni kweli hatusikii vizuri" wamesema Oka Martin na Carpoza.

Wawili hao wameongeza kuwa "Kwa wageni wengi walidhania hivyo ila kwa watu wanaotufahamu tangia mwanzo ilikuwa sio rahisi kujua kama sisi ni viziwi kweli, ukiangalia vichekesho unaweza ukaamini, lakini ukija kwenye ukweli wetu unaona vitu vingine tofauti na utabaki kusema kumbe tunaigiza tu" ameongeza Oka Martin.

Pia wamesema muunganiko wao wa kufanya vichekesho hivyo, ulianzia studio walipokutana kwa sababu kabla ya kuingia kwenye vichekesho walikuwa wanafanya muziki wa HipHop.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali