Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaofanyia utafiti mitandaoni waonywa

Wednesday , 15th Jan , 2020

Serikali imesema kuwa itahakikisha inazitumia ipasavyo na kwa ukamilifu tafiti zote zitakazofanywa na watafiti kutoka nyanja zote, ambazo zitakuwa na uhalisia na zitakazoleta matokeo sahihi kwa maendeleo ya nchi na kuwaonya watafiti kuondokana na utafiti wa kupika.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Eng Stellah Manyanya.

Hayo yamebainishwa leo Januari 15, 2020, Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellah Manyanya, wakati wa uzinduzi wa Mradi wa uimarishaji wa uwezo wa wasafirishaji wa bidhaa kwenda nje kati ya Taasisi ya utafiti ya Repoa na Umoja wa Ulaya (EU).

"Nitoe rai kwa watafiti, utafiti ni kitu ambacho kinatoa ushahidi wa kile mnataka kukifanya, utafiti unatakiwa uwe ni halisia wa kweli na usiwe wa kupika, unakuta wengine wanatumia mitandao afu wanajidai wamefanya utafiti, niwaonye wale wenye mtindo wa kupika taarifa wafanye utafiti wa kweli ambao utaleta matokeo sahihi ili Serikali iweze kuutumia" amesema Eng. Manyanya.

Katika makubaliano hayo REPOA itawezesha wataalamu wanaofanya biashara kusambaza utafiti wao, kufanya ujumuishi wa kibiashara wa kikanda, pamoja na kufanya uchambuzi wa sera za kibiashara.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine