Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya Stamina kuhusu ndoa za mastaa kuvunjika

Thursday , 16th Jan , 2020

MwanaHipHop Stamina, ametaja moja kati ya vitu ambavyo vinafanya ndoa za mastaa kutodumu ni kutopata mpenzi wa kuwavumilia kwa muda mrefu, kutokana na shughuli zao wanazozifanya.

Picha ya mwanaHipHop Stamina

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Stamina amesema ndoa zinakutana na changamoto nyingi, hali inayopelekea kuvunjika kwa sababu hawapati watu waelewa na wavumilivu.

"Ukiniuliza mimi nitakwambia kitu kingine kinachosababisha ni akili zetu zenyewe, unajua shughuli za wasanii ni kutoka hapa na pale, kupata mtu ambaye atakuvumilia kwa muda wote lazima mtu awe ana uelewa na kazi yako unayoifanya, changamoto za wasanii zinajulikana leo unaweza ukawa Mwanza, kesho Dodoma kwa hiyo lazima upate mtu atakayekuelewa" Ameeleza Stamina.

Aidha msanii huyo wa HipHop ameongeza kwa kusema "Inatakiwa kuwe na viwango vya kuelewa na kuheshimu kazi ya mwenziye, kama haitakuwa hivyo utasikia mara leo katembea na huyu, kesho amechepuka na mwingine, mambo ni mengi na ndoa ina vitu vingi na kwa namna moja au nyingine nimepata nafasi ya kujifunza" ameongeza.

Stamina anatamba na wimbo wake wa asiwaze, ambapo amezungumzia mambo ambayo yamemkuta kwenye ndoa hadi kupelekea kuvunjika kwa ndoa hiyo, iliyodumu kwa muda wa mwaka mmoja.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu