Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba
Lipumba amewasili mkoani humo leo, leo Januari 20, 2020 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya kuzugumza na wananchama na viongozi wa CUF ambapo alikutana na katazo hilo la polisi.
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi wameeleza Lipumba na wenzake hawakutoa taarifa juu ya ujio wa msafara wao wilayani humo.
#HABARI Polisi wilayani Mkinga mkoani Tanga, wamezuia msafara wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba, kwa madai kuwa jeshi hilo halina taarifa juu ya ujio wa ziara yake wilayani humo. pic.twitter.com/kOqsc9PU7n
— East Africa Radio (@earadiofm) January 20, 2020
Tazama video kamili hapo chini.