Rais Magufui na Katib u Mkuu wa CCM Bashiru Ally
Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho mkoani Kigoma.
"Moja ya mambo ambayo hayatasahaulika kwa awamu ya Tano ni kurejesha matumaini mapya ambao ni wanyonge, ambao waliwahi kukata tamaa".
"Kwa hiyo mkiulizwa ni jambo gani jipya limefanyika kwa kipindi cha awamu ya tano na kupimika na kuonekana kila mahala, waelezeni jambo jipya ni matumaini mapya kwa wanyonge" amesema Dkt Bashiru.