Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Agizo la Mahakama Feb 5 kwenye kesi ya Tito Magoti

Tuesday , 21st Jan , 2020

Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Janeth Mtega, ameutaka upande wa Mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Afisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Tito Magoti na mwenzake kuhakikisha Februari 5, 2020, wanaeleza upelelezi wa kesi hiyo umefikia wapi.

Tito Magoti akiwa na mwenzake Theodory Giyani, katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hayo ameyabainisha leo Januari 21, 2020, wakati kesi hiyo ilipofikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa, ambapo upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Monica Mbogo, ulidai kuwa upelelezi huo umefikia katika hatua nzuri na kuomba kesi hiyo iharishwe na kupangiwa tarehe nyingine.

Baada ya hayo yote, Hakimu Mtega, aliiahirisha kesi hiyo, hadi Februari 5, na watuhumiwa hao wamerudishwa rumande kutokana na kuwa mashtaka yanayowakabili kutokuwa na dhamana.

Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyani, wanakabiliwa na mashtaka matatu, ikiwemo utakatishaji wa pesa kiasi cha shilingi milioni 17, kushiriki genge la uhalifu pamoja na kumiliki programu ya kompyuta iliyotengenezwa kwa ajili ya kufanya uhalifu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine