Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morrison atoa salamu, awaalika mashabiki Yanga

Friday , 24th Jan , 2020

Mshambuliaji mpya wa klabu ya Yanga, Bernard Morrison amezungumzia juu ya kiwango chake alichokionesha katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Singida United.

Bernard Morrison na kocha Luc Eymael

Katika mchezo huo uliofanyika Jumatano, Januari 22 katika Uwanja wa Liti mjini Singida, Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-1 ambapo mabao hayo yalifungwa na David Molinga, Haruna Niyonzima na Yikpe Gislam, Morrison alionesha kiwango kikubwa ikiwemo kuhusika katika mabao mawili na kuwakosha mashabiki muda wote ambao aliocheza.

Baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Morrison amesema kuwa kiwango alichokionesha ni cha kawaida kwake kwani soka la maeneo mengi aliyopitia halitofautiani.

"Tumekuja huku tukiwa na lengo la kushinda mechi, ni furaka kwetu kwa ushindi tulioupata ambao umerejesha hali ya kujiamini na furaha miongoni mwetu", amesema Morrison.

"Popote unapopata nafasi ya kuonesha uwezo wako ni vyema kuitumia vizuri ili kuleta matokeo ya ushindi ambayo mashabiki na benchi la ufundi watayafurahia", ameongeza.

Baada ya mchezo huo, Yanga inerejea Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kombe la shirikisho dhidi ya Tanzania Prisons.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali