Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi Mawaziri 3 walivyoongoza Mambo ya Ndani

Monday , 27th Jan , 2020

Januari 23, 2020, tulishuhudia Rais Magufuli akimteua Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene, kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, baada ya kumtumbua aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola.

Mawaziri wa Mambo ya Ndani

EATV na EA radio Digital, imekuletea baadhi ya Mawaziri wa Mambo ya Ndani, ambao wamebahatika kufanya kazi ndani ya Serikali ya awamu ya tano.

Wakati Rais Magufuli anaunda Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza, alimteua Mbunge wa Misungwi Charles Kitwanga kuongoza Wizara hiyo kuanzia 2015 hadi 2016, lakini baadaye alienguliwa kutokana na kosa la kuingia bungeni akiwa amelewa.

Juni 11, 2016, Rais Magufuli alimteua Mbunge wa Iramba, Mwigulu Nchemba kushika nafasi hiyo ya Charles Kitwanga, akitokea Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuanzia 2016 hadi 2018.

Julai 2018 Rais Magufuli alimuondoa Mwigulu Nchemba katika Wizara ya Mambo ya Ndani, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa ajali za barabarani.

Baada ya kumuengua Mwigulu Nchemba , Rais Magufuli alimteua Kangi Lugola ambaye alihudumu kwenye nafasi hiyo hadi Januari 23, 2020, na alimuondoa kwa sababu ya kusaini mkataba wa zaidi Trilioni moja.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine