Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Asilimia 99 mmejaza umbea tu' - Makonda

Friday , 14th Feb , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amesema kuwa wananchi wengi wanapenda kuingia kwenye mitandao ya kijamii na kufuatilia mambo ya watu, badala hata ya kutumia muda huo kuweka post itakayotangaza utalii wa nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Makonda ameyabainisha hayo leo Februari 14, 2020, wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tambaza, alipofika hapo kwa ajili uhamasishaji wa zoezi la uandikishwaji wa wananchi katika daftari la wapiga kura.

"Katika eneo pekee ambalo Watanzania tumefanikiwa ni katika umbea kwa asilimia 99.9, ukiangalia Instagram yako, Twitter na Facebook yako hata kupost tu aina ya mnyama mmoja na tabia zake hauwezi ila umbea una forward masaa 24, halafu mwisho wa siku unataka bweni umechangia nini wewe" amesema RC Makonda.

Zoezi la uandikishwaji wa wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, umeanza leo kwa Mkoa wa Dar es Salaam, zoezi ambalo litadumu kwa muda wa siku sita.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine