Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walioonesha ubovu wa barabara Ngorongoro kukamatwa

Sunday , 16th Feb , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ameliagiza Jeshi la Polisi mkoani humo kuhakikisha linawachukulia hatua stahiki wale wote walioshiriki katika zoezi la usambazaji wa video mitandaoni, zinazoonesha ubovu wa miundombinu katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.

RC Gambo amesema kuwa haikuwa vibaya kukosoa ubovu wa miundombinu hiyo bali haikuwa jambo jema kusambazaa video hizo mitandaoni ili hali kuna viongozi ambao walipaswa kupelekewa taarifa hizo na suala hilo likapatiwa ufumbuzi.

"Changamoto hii ya barabara iko maeneo yote duniani sio Tanzania pekee, wapo baadhi ya watu kama Tour Guide ambao wamekuwa wakitoa taarifa bila kibali cha mamlaka husika, Mataifa mengine siyo kwamba hakuna mabaya, sema wanachagua ni kipi cha kupeleka Duniani, namuagiza RPC awachukulie hatua wale wote wanaochafua picha ya nchi, mimi nawachukulia kama wahujumu uchumi" amesema RC Gambo.

Hivi karibuni zilisambaa video mbalimbali katika mitandao ya kijamii, zikionesha ubovu wa miundombinu ya barabara katika hifadhi hiyo.

Tazama Video hii hapa chini
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine