Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'CCM haipo hapa, imebaki kurubuni' - Lema

Friday , 21st Feb , 2020

Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema, amesema kuwa anao uhakika wa kuendelea kuwa Mbunge wa Arusha Mjini na kwamba hakuna mtu yeyote atakayeweza kuiba kura zake.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema

Lema ameyabainisha hayo wakati akizungumza na EATV &EA Radio Digital, ambapo pia ameonesha kushangazwa na Wabunge wanaohama upinzani na kuhamia chama tawala kwa kisingizio cha kwamba wanaenda kuunga juhudi.

"Hakuna mtu yeyeote atakayeweza kuiba kura, na mara hii tutashinda madiwani wote 25, kwanza CCM haipo hapa ndio maana imebaki biashara ya kurubuni, unabaki kujiuliza Mbunge aliyepo madarakani anamzuia nini Rais kutekeleza wajibu wake, kwani mimi siwezi kukuunga mkono lazima nije kwako, kwani nikifurahia ndoa yako lazima nije kulala kwako?" amesema Lema.

Lema ameyabainisha hayo wakati akijibu swali lilimhoji kwamba, haoni mvutano alionao kati yake pamoja na viongozi wa Serikali mkoani humo, akiwemo Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Jonathan Shana, unaweza ukamuathiri katika kipindi chake cha kampeni.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine