Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Kumbe kuna mtu ametengeneza Nzige' - Makonda

Sunday , 23rd Feb , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba wafanyabiashara wa madini kutumia wakati huu kupigana kwaajili ya Rais Magufuli kwa kuyazungumza yale mazuri anayoyafanya pamoja na kuilinda amani ya nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Makonda ameyasenama leo Februari 23, 2020, katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini nchini na kusema kuwa vita iliyombaya katika maisha ya watu ni ile ya uchumi kwani ziko silaha 11 zinazotumika kuangamiza nchi nyingi za Afrika, ikiwemo Demokrasia pamoja na ile silaha ya Kibiolojia

"Silaha ya Kibiolojia tunaweza tusiione kwa sasa, sasa mnaweza mkashangaa tukahangaika kutafuta dawa ya hawa wadudu Nzige wanaomaliza mazao, lakini kumbe kuna mtu amekaa Maabara kuwatengeneza wanaingia kwenye mashamba, watu wanakufa na njaa" amesema Makonda.

Aidha Makonda ametoa rai kwa yeyote atakayepata taarifa zilizo na mashaka, asisite kutoa taarifa kwenye vyombo husika.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90