Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais aliyetawala miaka 30 Misri, afariki dunia

Tuesday , 25th Feb , 2020

Rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91 Jijini Cairo.

Hayati Hosni Mubarak

Mubarak aliiongoza nchi hiyo kwa miaka 30 kabla ya kuondolewa madarakani kwa maandamano ya wananchi Februari 2011, amaandamano yaliyojulikana kama 'Arab Spring'.

Inaelezwa kuwa Mubarak alifanyiwa upasuaji mwishoni mwa mwezi Januari katika hospitali ya kijeshi Jijini Cairo kwa mujibu wa taarifa ambayo ilitolewa na mwanaye wa kiume.

Hosni Mubarak alizaliwa mwaka 1928, alijiunga na jeshi la anga la Misri akiwa kijana na kufanikiwa kuongoza vita vikubwa mwaka 1973 kati ya ukanda wa arabuni na taifa la Israel. Alikuwa Rais wa Misri miaka michache baada ya vita hiyo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa nchi, Anwar Sadat.

Utawala wake ulilalamikiwa kuwa na ukosefu mkubwa wa ajira, umasikini na rushwa, na kupelekea maandamano makubwa mwezi Januari 2011, ambapo baadaye alizalimishwa kujiuzulu.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12