Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morrison ataka kuwachanganya mashabiki wa Yanga

Friday , 20th Mar , 2020

Nyota maarufu ndani ya klabu ya Yanga hivi sasa, Bernard Morrison amesema kuwa ana vitu vingi vya kufanya kwa mashabiki wa klabu hiyo ili kuwapa kile kitu wanachokitaka.

Bernard Morrison

Amesema hayo kufuatia sapoti kubwa ambayo amekuwa akioneshwa na mashabiki wa Yanga tangu alipojiunga na nayo katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari.

Morrison amesema kuwa alipokuwa akicheza soka nchini Congo DR na Afrika Kusini amejifunza vitu vingi ambavyo akivifanya, mashabiki watampenda kwa kiwango kikubwa zaidi na kwamba baada ya muda atavionesha vitu hivyo.

"Nilipokuwa Orlando Pirates ya Afrika Kusini nilijifunza vitu vingi sana kutoka kwa wachezaji wenzangu hasa kuhusu mitindo ya uchezaji na nafikiri nina vingi vya kuonesha lakini kwanza kwa sasa nataka kufunga magoli", amesema.

"Najua wanapenda ninavyofanya na mimi nataka nifanye zaidi kwa ajili yao kwa sababu wanakuja nyumbani kufurahia", ameongeza.

Kuhusu tetesi za kuhusishwa na klabu ya Simba, Morrison amesema kuwa yeye hana anachokifahamu kuhusu hilo kwani kwa sasa yupo na mkataba katika klabu ya Yanga, huku akiwashukuru amashabiki wengi ambao wamekuwa wakijitokeza kila mechi anazocheza kumpa zawadi mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu