Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chidi Benz atimiza ahadi yake kwa Juliana Shonza

Friday , 20th Mar , 2020

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amesema amefurahi kutembelewa na mwana Hip Hop Chidi Benz, ikiwa ni ahadi aliyoitimiza msanii huyo walipokutana katika uzinduzi wa kazi ya Lulu Diva siku ya Machi 13,2020.

Kulia kwenye picha ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza na msanii Chidi Benz

Shonza amesema Chidi Benz alimtembelea ofisini kwake Dodoma, siku ya jana Machi 19 na kumueleza mambo ya msingi kama kujisajili BASATA na kutaka kazi zake zisajiliwe na COSOTA.

Akitoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa Instagram ameandika kuwa  "Hiki chuma kipo imara zaidi ya jana, nilifurahi kutembelewa na msanii nguli wa muziki wa BongoFleva Chidi Benz ofisini kwangu Dodoma , ikiwa ni ahadi yake aliyoniahidi nilipokutana naye siku ya uzinduzi wa kazi ya Lulu Diva".

"Kubwa ameniambia anataka kufanya kazi zake za sanaa kiuhalali, kupata usajili wa BASATA pamoja na kusajili kazi zake COSOTA, pia amewashukuru mashabiki, wasanii wenziye na wadau wa muziki kwa kuendelea kumuamini na kumualika kwenye show mbalimbali licha ya changamoto alizopitia" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine