Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kaka Tuchati, goma nimelielewa sana"-Naibu Waziri

Saturday , 16th May , 2020

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amemaliza bifu na kuwapa ushauri wanamitindo Calisah na Ben Breaker pia amesema ameilewa ngoma mpya ya kundi la Rostam "kaka tuchati".

Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Juliana Shonza

Akizungumza kwa njia ya simu kupitia show ya "Friday Night Live" ya East Africa TV, Naibu Waziri alianza kuwapa ushauri wanamitindo hao ambao walikuwa wana bifu siku za nyuma, kisha akamalizia kwa kusema ameilewa ngoma ya kaka tuchati.

"Niwapongeze kwa kuwakutanisha hao vijana wetu wawili, nafikiri sisi kama Wizara ambayo tunasimamia kazi za sanaa naona tasnia ya ubunifu na uwanamitindo bado ni changa hapa kwetu na inakua, kwa hiyo waliokuwepo wanahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja ndiyo maana nikawasisitiza huu sio wakati wa malumbano na kuangalia nani mkubwa nani mdogo" ameeleza Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa, na Michezo

Aidha katikati ya mahojiano hayo akamalizia kwa kusema msalimie Stamina namuona hapo, goma nimelielewa sana kaka tuchat. 

Mahojiano kamili tazama kwenye video hapa chini.

 
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine