Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yaruhusu mazoezi kwa vilabu,yatoa tahadhali

Friday , 22nd May , 2020

Baada ya Rais Magufuli hapo jana Mei 21 kuruhusu kuruhusu michezo kuendelea, Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imeruhusu klabu za soka kuanza kufanya mazoezi.

Wachezaji na benchi la ufundi wakiwa mazoezini

Akizungumza kuhusu utaratibu na muongozo utakaotumika kurejesha Ligi Kuu Tanzania Bara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Hassan Abbas amesema kuwa klabu za soka zinaruhusiwa kuanza mazoezi wakizingatia taratibu zote za kiafya pamoja na kutoruhusu mikusanyiko ya mashabiki.

"Wote tumefarijika kwa michezo kurejeshwa, kuna tahadhari za kuzingatia kutoka kwa Wizara ya Afya na TFF hasa ukizingatia kuwa ugonjwa upo ingawa unapungua sana, kwahiyo tahadhari mbalimbali zitatolewa na serikali na TFF", amesema Dkt. Abbas

"Kuanzia sasa ni ruksa kwa vilabu kufanya mazoezi, cha muhimu ni kwamba Wizara ya Afya ilishatoa maelekezo hasa suala la mikusanyiko. Kuhusu suala la mashabiki kwamba watakuwepo au hawatakuwepo ndio litaanza kujadiliwa", ameongeza.

Dkt. Hassan Abbas amesema klabu vianze mazoezi lakini viepuke mikusanyiko ya mashabiki na wachezaji na benchi la ufundi wazingatie maelekezo ya kiafya ikiwemo kunawa na kutumia sanitizer pamoja na kuzingatia umbali kati ya mtu na mtu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine