Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichojiri kwa Askari aliyemuua raia mweusi

Thursday , 28th May , 2020

Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha, amesema kuwa mpaka sasa hivi wale Askari wanne waliokuwepo katika tukio la mtu mweusi nchini humo aliyekandamizwa kwa goti shingoni mwake na kupoteza maisha wamekwishafukuzwa kazi.

Upande wa kushoto, Askari akionekana kumkandamiza raia mweusi, kulia ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha.

Fanirani ameyabainisha hayo leo Mei 28, 2020, wakati akizungumza na kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, na kusema kuwa mpaka sasa hivi raia weusi nchini Marekani bado wako nje wakiandamana, kudai hatua kali zaidi zichukuliwe dhidi ya Askari hao ikiwemo kupewa mashtaka ya mauaji.

"Nadhani presha hii inaweza ikazaa matunda kwa sababu mpaka sasa hivi bado waandamaji wako nje, ukiangalia kwenye live stream unaona kabisa hawa watu hasira zao bado hazijaisha, licha ya kwamba hao Askari wamefukuzwa kazi na watu wanatamani hatua kali zaidi zichukuliwe na wapewe mashtaka" amesema Fanirani.

Hivi karibuni kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, zilisambaa video zikionesha Askari akiwa amemkandamiza kwa kutumia goti lake shingoni raia mweusi, huku mtu huyo akionekana kulalamika na bila kusikilizwa na ndipo mauti yalimpofika, na watu wengi wamelaani kitendo hicho.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali