Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kigwangalla na Godwin Mollel wakagua Mobile Clinic

Sunday , 31st May , 2020

Ndege ya abiria kutoka Shirika la ndege la Ethiopia inatarajiwa kutua Nchini kupitia Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro KIA Jumatatu ya Juni Mosi Mwaka huu ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu Tanzania ilipotangaza kufungua anga baada ya hapo awali kufungwa kutokana na Corona.

Waziri wa Maliasili na Dkt. Hamis Kigwangalla (katikati) pamoja na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel (kulia).

Ndege hiyo inatarajiwa kuwasili ikiwa na abiria wanaoingia Nchini kwa shughuli mbalimbali zikiwemo Utalii na Biashara ambapo baada ya KIA ndege hiyo inatarajiwa kuelekea Visiwani Zanzibar.
 
Waziri wa Maliasili na Dkt. Hamis Kigwangalla pamoja naye Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel wakiwa na maafisa wa mamlaka za Utalii kutoka sekta za Umma na binafsi, wametembelea Kiwanja cha KIA na kueleza kuridhishwa na tahadhari zilizochukuliwa katika kuwakinga wageni na watumishi dhidi ya Corona.
 
Wakati huo huo viongozi hao wamekagua shughuli za utengenezaji wa Magari maalumu yanayotumika kama maabara zinazotembea kwaajili ya kuwahudumia Watalii yanayotengenezwa na kampuni ya HANSPAUL ya Jijini Arusha.
 

Zaidi Tazama hapo chini

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine