Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha Yanga ataja sababu ya kufungwa na KMC

Monday , 8th Jun , 2020

Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema kuwa wachezaji wake hawakuwa na utimamu wa kimchezo na kupelekea kufungwa na KMC katika mchezo wa kirafiki.

Mchezo wa Yanga na KMC

Akizungumza baada ya mchezo huo, Mkwasa amesema kuwa uzembe wa wachezaji wake ulipelekea kupoteza mechi hiyo, huku akiwapongeza KMC kwa mchezo waliouonesha.

"Tumefungwa kutokana na makosa ya uzembe wetu wenyewe, imekuwa ni mechi nzuri kujua matatizo yetu yako wapi ili tuyafanyie kazi", amesema Mkwasa.

"Niwapongeze wenzetu KMC wamekuwa na mechi nyizgi za majaribio kuliko sisi ambao tuna siku 10 tu hivi sasa, kwahiyo tunahitaji kuongeza nguvu na utimamu wa mwili kwa sababu wachezaji bado hawajapata nguvu ya kutosha", ameongeza.

Kwa upande wake kocha wa KMC, Habib Kondo amesema kuwa alitarajia kupata matokeo hayo kutokana na kujiandaa vizuri kwani ni mchezo wa tatu kwao wa maandalizi kabla ya ligi kurejea.

Yanga inatarajia kufungua ratiba ya urejeo wa ligi, ambapo itacheza ugenini Juni 13, dhidi ya Mwadui FC mjini Shinyanga, ikiwa ni baada ya Serikali kuruhusu shughuli za michezo kuendelea.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine