Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtia nia wa Urais CHADEMA adai hana anayemhofia

Thursday , 18th Jun , 2020

Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Leonard Manyama, amesema kuwa miongoni mwa majina 11 ya watia nia yaliyotangazwa na chama hicho, haoni hata mmoja ambaye anaweza akamzidi na hivyo yeye ndiyo atapewa ridhaa ya kupepeperusha bendera ya chama.

Leonard Manyama, Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Manyama ameyabainisha hayo leo Juni 18, 2020, wakati wa mazungumzo maalumu na EATV&EA Radio Digital, ambapo pia amevitaja vipaumbele vyake katika siku 100 za kwanza pale atakapokuwa amechaguliwa na wananchi, ikiwemo kujenga Taifa lenye umoja na mshikamano, kwa madai ya kuwa vitu hivyo havijafanyika tangu mfumo wa vyama vingi uanze hapa nchini.

Aidha amesisitiza kuwa ataliunganisha taifa katika masuala ya Mungu, uhuru wa vyombo vya habari na kwamba katika utawala wake hatoogopa kunyoshewa vidole kwa kuweka usawa kwa kila mtu

"Wagombea wote waliojitokeza kutangaza nia wana uwezo na sifa stahiki, mimi ninategemea kwa kila mmoja wetu anaweza kuchaguliwa na chama, na katika wote tuliochaguliwa sina ninayemhofia ila ninawaheshimu wanachama wenzangu" amesema Manyama.

CHADEMA tayari imekwishawatangaza watia nia 11 wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwemo Lazaro Nyalandu, Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Peter Msigwa, Richard Simba, Shaban Msafiri na wengine.

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90