Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya wanafunzi, shule iliyoungua Ilala

Saturday , 4th Jul , 2020

Wanafunzi watatu katika shule ya sekondari Islamic ilipo ilala Jijini Dar es Salaam wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya moto ulizuka majira ya saa nane za usiku ukianzia katika mabweni wa shule hiyo.

Sehemu ya mabweni yaliyoungua

Akizungumza na waandisha wa habari akiwa katika eneo la tukio mapema leo, Mkuu wa wilaya ya Ilala, Bi Sophia Mjema amesema moto huo ulianza kuwaka usiku na jitihada zilizofanywa zilifanikiwa kuwaokoa wanafunzi wengi lakini bahati mbaya wanafunzi watatu walikutwa wamepoteza maisha.

Mkuu huyo wa wilaya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama amesema chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana ingawa tayari ameunda kamati ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ameruhusu watoto kwenda kusoma kwa muda katika shule za jirani ili wasikose masomo lakini pia serikali kwa kushirikiana na uongozi wa shule kuweka mazingira mazuri ya kusomea katika kipindi hiki cha mpito.

Naye Shekh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amesema anaichukulia ajali hiyo kama janga hivyo kama kiongozi wa dini anatoa pole kwa uongozi wa shule serikali na familia za watoto waliokumbwa na ajali hiyo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine