Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jokate amtaka Mkurugenzi apungzue gharama

Sunday , 5th Jul , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amemtaka Mkurugenzi kuweka mazingira mazuri ikiwemo kupunguza bei ya maeneo ili kutoa fursa kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza ndani ya wilaya hiyo waweze kumudu gharama.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Jokate ameyasema hayo katika kikao cha Baraza la Wafanyabiashara wilayani humo, baada ya Afisa Biashara wa Halmashauri ya Kisarawe Joachim Costa kuwasilisha ripoti ya biashara ikionyesha zaidi ya biashara 180 zenye thamani ya shilingi milioni 9 na laki 3 zimefungwa wilayani Kisarawe katika kipindi cha kuanzia mwaka 2019 hadi 2020.

''Tutajitoa kushirkiana na wafanyabishara na wawekezaji wetu, mtu akija hapa hahitaji kukuta vizingiti vingi vya yeye kufanya uwekezaji, hivyo Mkurugenzi angalia maeneo mengine ambayo mtu atatumia gharama za chini kabisa kwasababu lengo letu ni kuvutia wawekezaji'', amesema Jokate.

Aidha Afisa Biashara alibainisha kuwa sababu za biashara hizo kufungwa ni wateja kushindwa kumudu gharama kwenye bidhaa zinazozalishwa Kisarawe pamoja na kuvunjwa kwa miundombinu kwaajili ya kupisha upanuzi wa barabara hali inayopelekea kuathiri biashara nyingi wilayani humo.
 

Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine