Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtia nia CHADEMA atoa ahadi kwa anayetaka utajiri

Tuesday , 7th Jul , 2020

Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA Dkt Mayrose Majinge, ameahidi kuwa endapo chama chake kitampa ridhaa ya kugombea nafasi hiyo, basi atahakikisha kila Mtanzania anayetaka utajiri anaupata kwani ataboresha fursa za ujasiriamali.

Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Dkt Mayrose Majinge.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 7, 2020, wakati akichukua fomu ya kuomba uteuzi wa chama hicho ili aweze kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu ujao mwezi Oktoba.

"Kama chama changu kitanipitisha ninaahidi kila Mtanzania kuwa na uhakika wa chakula na matibabu, ahadi yangu ya pili ni kuwezesha kila Mtanzania kupata elimu yenye kujenga maarifa na uwezo mkubwa wa kufikiri ili kutumia fursa zilizopo kwa uhuru na furaha, ahadi nyingine ni kuwezesha kila Mtanzania mwenye kutaka utajiri anaupata kwa kuboresha fursa za ujasiriamali na mitaji ya kutosha katika sekta binafsi na kutengeneza mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wote" amesema Dkt Mayrose.

Dkt Mayrose Majinge ndiye mwanamke wa pekee kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), aliyejitokeza kutangaza nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine