Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lissu arejea Tanzania, apokelewa na umati wa raia

Monday , 27th Jul , 2020

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) Bara, Tundu Lissu, hatimaye amewasili nchini Tanzania hii leo Julai 27, 2020, akitokea nchini Ubelgiji alikokuwa akipatiwa matibabu na kupokelewa na mamia ya wafuasi pamoja na viongozi wa chama hicho.

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, alipowasili Tanzania.

Lissu amewasili majira ya mchana, huku akionekana kuwa ni mtu mwenye furaha kukanyaga tena ardhi na udongo wa Tanzania, baada ya kutokuwepo kwa zaidi ya miaka miwili, hii ni baada ya yeye kushambuliwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana mwaka 2017, wakati akitokea kwenye vikao vya Bunge, kuelekea nyumbani kwake maeneo ya Area D Jijini Dodoma.

Jana Julai 26, 2020, chama chake cha CHADEMA kilieleza kuwa Lissu atakapowasili nchini, siku ya kesho yaani Julai 28, atahudhuria shughuli za utoaji wa heshima za mwisho kwa Taifa kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine