Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasomba Kokoto,mchanga walilia serikali

Friday , 31st Jul , 2020

Umoja wa vijana Wafanyabiashara wa Mchanga na kokoto katika eneo la ubungo External Jijini Dar es Salaam, umeiomba Serikali kupitia vitengo vya ujenzi vya ngazi ya Halimashauri kuwapa tenda za kutoa huduma ya mchanga na kokoto ili kusaidia kuwakuza kiuchumi.

Umoja wa vijana Wafanyabiashara wa Mchanga na kokoto katika eneo la ubungo External Jijini Dar es Salaam, umeiomba Serikali kupitia vitengo vya ujenzi vya ngazi ya Halimashauri kuwapa tenda za kutoa huduma ya mchanga na kokoto ili kusaidia kuwakuza kiuchumi.

Ikiwa hii leo ni Sikukuu ya Eid el Haji Eatv imefika katika eneo hilo na kujionea vijana hao wakiendelea na harakati zao ambapo wamesema wanatamani kupata tenda katika serikali yao kwa kuwa imejielekeza katika ujenzi wa maeneo mbalimbali na wao wanauza vifaa vya ujenzi

Wafanyabiashara hao wamesema kupitia Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA wanaweza kufanya chochote endapo watapata fursa hiyo ya kutoa huduma ya kuwauzia kokoto.

Kwa upande wake Verani Vicent ambaye amekuwa akisafirisha kokoto hizo amesema biashara hiyo hulipiwa vibali na kodi mbalimbali, huku akishukuru serikali kwa kuendelea kutumia eneo hilo lililopo pembezoni mwa barabara ya Mandela kuweka biashara zao.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine