Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TID amwaga machozi msemo wake kutumika

Wednesday , 5th Aug , 2020

Msanii Top In Dar es Salaam TID, ameangua kilio na kusema amehuzunika sana kwa baadhi ya vyama kutumia msemo wake wa 'Ni yeye' kwenye kampeni zao za kisiasa, huku akidai msemo huo ulikuwa ni maalum kwa Rais John Pombe Magufuli tu.

Msanii TID

TID amesema ameumizwa sana na kitendo hicho kwa sababu amekuwa akitumia akili yake na ubunifu wa kufikiria wazo la msemo huo, hivyo anaona kama anadhulumiwa na kutaka haki itendeke juu ya suala hilo.

“Nimehuzinuka sana na nimeona kwenye mitandao ya kijamii kuwa msemo wangu, ushairi wangu na ubunifu wangu unatumika kwenye kampeni za kisiasa bila ya kuwa na mawasiliano yoyote, nataka niseme kitu kimoja ni muda sasa wa usanii wetu utumike kwa usawa, nimehangaika kutumia akili yangu na nguvu ili kuutangaza huu msemo, naomba mnisaidie nimechoka kudhulumiwa” amesema TID.

Baada ya kusema hivyo TID amewa-tag  Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Juliana Shonza, Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole, Mwana Fa , na Cosota chombo ambacho kinasimamia haki miliki za wasanii.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine